
Philipo alikuwa bahili sana hivyo mwenzake akamuundia mtego ili aaibike
Kweli Philipo aliabishwa sana lakini mwisho wa siku zile aibu zilihamia kwa muandaa mchezo kwakuwa naye alikuwa anataka faida kwenye hilo lakini akaishia kuabishwa na kusemwa tena😂
Tazama mkasa huu wa kuchekesha na kufurahisha
Usisahau kabisa kunisaidia kusambaza kichekesho hiki ili wengi wakione
👍Like | 🗨Comment | ▶Subscribe | 🔀Share
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni