Msomi wa Chuo πŸ˜‚

Ushawahi kukutana na demu anakwambia anasomaga chuo halafu anakutumia text inasomeka hivi:
“Za hasubui Zephiline, Humehamkaje, nirikuwa nakusalimiha tu hafya vipi?”

Eti wana chuo huu ndio mwandiko wenu?πŸ€£πŸ˜† #ChekanaZephiline
See Also :