
MAMA YETU YOPO WAPI?
Watoto waliamua kukaba Baba yao awaambie kwanini aliachana na Mama yao wakati ndoa inasema kuvumiliana kwenye shida na raha
Baba alikosa cha kujitetea ikabidi awe mkali tu
Tazama alichoamua kuwafanyia watoto wake baada ya kumlazimisha awaambie alipo Mama yao
Usisahau kubonyeza Subscribe kama ndio mara ya kwanza unatazama video katika channel hii
👍Like | 🗨Comment | ▶Subscribe | 🔀Share
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni