Walimu wa Zamani πŸ˜‚

Unajua kwa nini walimu wa zamani hawakugoma ingawa mishahara yao ilikuwa ni midogo?πŸ‘‡
  1. Tuliwapelekea kuni
  2. Tuliwachotea maji
  3. Tuliwalimia mashamba
  4. Tuliwafanyia kazi za nyumbani wote walikaa quarters
  5. Rambirambi walikusanya wao
  6. Tofali tuliwafyatulia hata za kuuza
  7. Tulifanya vibarua kukuza mradi wa shule ambao hatukujua matumizi
  8. Tuliwapelekea hata vitu kama kuku, mayai na maziwa ambavyo wazazi walitupa tukawapelekea
Mwalimu wa enzi hizo alitisha kuliko hata Polisi
Sasa kwa hayo yote mwalimu angegomeshwa na kipi wakati kila kitu alichokuwa anataka alikipata?πŸ€”πŸ˜‚ #ChekanaZephiline
See Also :